Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amerudisha utaratibu wa motisha wa kununua mabao ambao kuanzia hatua ya makundi bao moja litanunuliwa Sh5 milioni, robo Sh10 milioni na nusu Sh20 milioni.
Tanzania itawakilishwa na Simba na Yanga katika hatua hiyo baada ya kufuzu.
Msikilize Msigwa akizungumza hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: