Sun, 12 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi kutoka katika Klabu ya Simba SC,zinasema kuna uwezekano mkubwa wa Klabu hiyo kuachana na nyota wake Luis Jose Miquissone "KONDE BOI".
Chanzo kinasema, "matarajio ya klabu na Uongozi wakati tunamrejesha Miquissone yalikuwa makubwa na huduma aliyotupatia na kwa bahati mbaya gharama na mshahara wake ni mkubwa kwa hivyo ni bora tukaachana naye na kutafuta mchezaji mwingine.”
Kazi kwenu Wananchi, Konde Boy anabaki nchini au aondoke?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: