Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: Tanzania
Mchungaji maarufu Jijini Dar es Salaam, Mchungaji Mashimo ameipongeza timu ya Simba SC Kwa Kuchukua Ngao ya Jamii
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe unaosomeka
" Simba Sc Tanzania Hongera Kwa Kuchukua Ngao ya Jamii"
Ikumbukwe Mchezo wa Ngao ya Jamii unachezwa leo jioni lakini Mchungaji Mashimo ameipongeza Simba SC huku muda wa mchezo ukiwa haujawadia.
Hii ni ishara kuwa Mchungaji huyo ameitabiria Klabu ya Simba kuibuka mbabe.
Una maoni gani?
Chanzo: Tanzania
Related Articles: