Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchungaji maarufu Jijini Dar es Salaama, Mchungaji Mashimo amesema kuwa kama Simba SC hawataenda kutoa Sadaka ya shukran kwake basi watafungwa na Al Ahly katika Mchezo wa AFL.
Mchungaji maarufu Jijini Dar es Salaama, Mchungaji Mashimo amesema kuwa kama Simba SC hawataenda kutoa Sadaka ya shukran kwake basi watafungwa na Al Ahly katika Mchezo wa AFL. Simba watakuwa na mchezo wa ufunguzi wa michuano ya African Footbal League Oktoba 20 dhidi ya Al Ahly katika Uwanja wa Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: