Sun, 21 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imeingia Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) kwa kuifunga Singida Big Stars goli 1-0 kwenye Uwanja wa Liti, Singida mfungaji akiwa ni #FistonMayele.
Yanga inatarajiwa kuvaana na #AzamFC katika Mchezo wa Fainali unaotarajiwa kuchezwa Mkoani #Tanga.
Yanga inajiweka katika nafasi nzuri ya kuweka historia ya kutwaa mataji matatu makubwa, tayari imebeba Ligi Kuu Bara na pia itacheza Fainali ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: