Tue, 6 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa timu za vijana za Simba, Suleiman Matola amepata mwaliko wa kwenda Jijini Accra nchini Ghana kushuhudia mashindano ya vijana chini ya umri wa 23 yatakayofanyika nchini humo kuanzia Juni 20 hadi 24, mwaka huu.
Kocha Mkuu wa timu za vijana za Simba, Suleiman Matola amepata mwaliko wa kwenda Jijini Accra nchini Ghana kushuhudia mashindano ya vijana chini ya umri wa 23 yatakayofanyika nchini humo kuanzia Juni 20 hadi 24, mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: