Mon, 15 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo.
Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu alishauliwa kujiuzulu katika nafasi hiyo, lakini hadi muda huu ameshikilia msimamo wa kutokuachia ngazi katika nafasi hiyo. Malalamiko yamekuwa mengi ndani ya Klabu ya Simba baada ya mfululizo wa matokeo mabovu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: