Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati kukiwa na taarifa tofauti tofauti juu ya kukamilika kwa mchakato wa Uwekezaji katika Klabu ya Simba SC.
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema kuwa ili kuufahamu mchakato wa uwekezaji katika klabu ya Simba basi inatakiwa uwe mtu mwenye uelewa mpana sana, aidha Mangungu ametoa ufafanuzi kabla ya kujibu iwapo mchakatao umekamilika au la.
Msikilize Mangungu hapa chini akizungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: