Wed, 19 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati wengi wakihoji zilipo Bilioni 20 zilizowekwa na mwekezaji wa Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji Mo.
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameweka wazi akaunti zilipo Bilioni 20.
Akizungumza kupitia Wasafi FM, Mangungu amesema;
“Iliwekwa na malengo yake, kwamba inaenda kwende deposit ambayo kila mwisho wa mwezi tunapata faida”
Msikilize zaidi Mangungu akizungumza kwenye Video hapa Chaini;
Je Mwanasimba una maoni gani kutokana na kauli ya Mwenyekiti? Tupe Commeny yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: