Fri, 22 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amedai kuwa Mchezaji wao Henock Inonga ameumizwa kwa makusudi na Mchezaji wa Coastal Union Haji Ugando katika mchezo wa jana.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo huo Mangungu amesema;
“ Kuna kampeni inafanywa kuumiza wachezaji wetu wa Simba ili Simba isicheze vizuri kama walivyomuumiza Moses Phiri"
Je unadhani Mangungu yuko sahihi kuwa Simba wanafanyiwa hujuma? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: