Thu, 13 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati anajibu kuhusu maoni ya mdau aliyehoji viwango duni vya baadhi ya wachezaji wanaosajiliwa na Simba Mangungu amesema
“Yeye amezungumzia wachezani wawili Sawadogo na Jobe , bahati mbaya Sawadogo wakati anakuja pre season aliumia , lakini alikuwa anatoka kwenye timu yao ya Taifa sio mchezaji wa kiwango kidogo”
“Mimi ninachosema hapa atokee mtu anipe timu 5 ambazo wamesajili na wachezaji wote waliosajiliwa wamefanya vizuri,Wallah mimi wala sisubiri kitu ,kesho najiuzulu”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: