Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Manara: Mo Dewji anapenda watu kama mimi

Manara Mo Dewji Manara: Mo Dewji anapenda watu kama mimi

Mon, 27 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Aliyewahi kuwa msemaji wakLabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa baada kuteuliwa jwa barbara Gonzalez kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo, yeye alimpigia simu Mohammed Dewji na kuomba aondoke.

Manara amesema alifanya hivyo kwa sababu alijua fika kuwa hatoweza kufanya kazi na dada huyo kutokana na tabia zake.

“Mo Dewji hana shida na mimi, mimi na yeye hatukuwahi kuwa na shida, kwanza Dewji anapenda watu wa aina yangu watu wanaoprotect timu lakini sasa wakawa wanamjaza kwamba Haji anakuwa maarufu kuliko wewe.

“Tukienda uwanjani mimi ninambwembwe na najua kujibrand siwezi kuingia uwanjani kabla uwanja haujajaa sasa ile wakawa wanamjaza kwamba wewe ndio unatoa hela lakini anasifiwa Haji, mimi nilimwambia hawa wanakujaza,” amesema Hajis Manara.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: