Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
TPLB limewafungia mechi tatu na faini ya Tsh. 500,000 kocha msaidizi wa klabu ya Simba, Selemani Matola na kocha wa viungo wa klabu ya Azam, Jean Laurent kwa kosa la kuongoza vurugu kwenye mechi yao ,Simba dhidi ya Azam Fc.
TPLB limewafungia mechi tatu na faini ya Tsh. 500,000 kocha msaidizi wa klabu ya Simba, Selemani Matola na kocha wa viungo wa klabu ya Azam, Jean Laurent kwa kosa la kuongoza vurugu kwenye mechi yao ,Simba dhidi ya Azam Fc.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: