Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Majingambo yamewaponza Yanga - Mangungu

Mangungu Murtaza 1 1140x640 Murtaza Mangungu

Mon, 17 Apr 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwenyekiti wa Simba, MURTAZA MANGUNGU amesema, mpira hauna majigambo, maana majigambo ya Yanga ndio yaliwapa hasira wachezaji wa Simba.

“Mpira ni mchezo wa sayansi, hauhitaji tambo na jeuri. Tambo na jeuri zao pengine ndio zimewatia hasira wachezaji watu. Mambo yangeenda vizuri pengine wangeenda kulala na zile saba kama za Horoya.

“Hatuna sera ya kumfunga mtani, sera yetu ni kushinda mashindano na kumfunga yeyote anaekuja mbele yatu. Matokeo tofauti na ushindi inakuwa ni bahati mbaya lakini malengo yetu ni kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye mashindano yote,” amesem Mangungu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: