Thu, 13 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkataba wa Ayoub Lakred (28) na Simba unamalizika June 30 mwaka huu hivyo amebakiza siku 17 kuwa huru.
Golikipa huyo raia wa Morocco alijiunga na Simba kwa mkataba wa mwaka Mmoja huku akipewa “signing fee” ya $200,000 sawa na Tsh 523,000,000.
Klabu ya Union de Touarga ya Morocco inawinda vikali saini yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: