Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Kimataifa wa DR Congo na Klabu ya Simba SC ,Jean Baleke amerejea Nchini akitokea DR Congo alikoenda kubadilisha Passport yake ya kusafiria ambayo ilikuwa imejaa.
Mapema mwishoni mwa juma lililopita Baleke aliandika ujumbe katika ukurasa wake wa Instagram akionekana anakwenda Congo kwao huku akiaga Tanzania.
Jambo hilo lilizua mtafaruku mkubwa kwa wadau wa Soka lakini mapema leo amewasili Jijini Dar es Salaam tayari kwa safari ya Uturuki.
Mtazame Baleke hapa chini akiwasili Dar es Salaam;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: