Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wydad Casablanca imetangaza viingilio vya mechi yao ya tatu hatua ya makundi dhidi ya Simba ikipigwa nchini Morocco ambapo kiingilio cha chini ni Sh20,000 kingine ni Sh102,500 na cha juu ni Sh478,000.
Wydad Casablanca imetangaza viingilio vya mechi yao ya tatu hatua ya makundi dhidi ya Simba ikipigwa nchini Morocco ambapo kiingilio cha chini ni Sh20,000 kingine ni Sh102,500 na cha juu ni Sh478,000. Mechi hiyo itapigwa Jumamosi saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Grand Marrakech.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: