Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Big Stars imekamilisha Mazungumzo na Kocha wa Viungo raia wa Afrika Kusini Kelvin Mandla.
Kelvin ambaye amewahi kufanya kazi na vilabu kadhaa vikubwa Afrika Vikiwepo Kazier Chiefs , Orlando Pirates na Simba Sc.
Mandla anajiunga na benchi la Ufundi linaloongozwa na Kocha Mpya wa klabu hiyo raia wa Ujerumani Ernst Middendrop.
Hili benchi la ufundi jipya la klab ya Singida Big star 23/24.
Kocha mkuu Ernst Middendorp
Msaidizi wake Thabo Senong
kocha wa viungo Kelvin Mandla
Kocha wa makipaThembalethu Moses
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: