Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu mpya Abdelhak Benchikha leo asubuhi amekutana kwa mara ya kwanza na benchi la ufundi la Timu ya Simba SC na kufanya kikao kifupi.
Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula pia alishiriki katika tukio hilo.
Timu ya Simba SC ilikuwa chini ya Makocha wa muda, Daniel Cadena na Seleman Matola.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: