Wed, 3 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa Simba SC, Zoran Manojlovic ‘Maki’ ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Al Hilal SC ya Nchini Libya.
Kocha wa zamani wa Simba SC, Zoran Manojlovic ‘Maki’ ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Al Hilal SC ya Nchini Libya. Zoran ambaye alikuwa kocha wa Al Ittihad ya Misri amewahi kuvinoa vilabu vya Primeiro de Agosto ya Angola, Wydad AC ya Morocco, Al-Hilal ya Sudan, CR Belouizdad ya Algeria na Al-Tai ya Saudi Arabia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: