Tue, 25 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa chipukizi wa Simba, Ahmed Feruzi inaelezwa kwamba atatolewa kwa mkopo kati ya Kagera Sugar au KMC, lengo ni kuhakikisha anapata muda wa kucheza na uzoefu.
Kipa chipukizi wa Simba, Ahmed Feruzi inaelezwa kwamba atatolewa kwa mkopo kati ya Kagera Sugar au KMC, lengo ni kuhakikisha anapata muda wa kucheza na uzoefu. Imekuwa ngumu kwa Feruzi kupata nafasi ya kucheza mbele ya makipa waliopo Simba, Ayoub Lakred, Ally Salim na Hussein Abel ambao angalau wanapata nafasi ya kucheza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: