Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Tanzania, Iman Kajula amemtembelea Professor Jay na kumjulia hali nyumbani kwake.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba SC Tanzania, Iman Kajula amemtembelea Professor Jay na kumjulia hali nyumbani kwake. Kajula ametumia fursa hiyo kufikishia salam za viongozi na mashabiki wa Simba ambao wanathamini mchango wake mkubwa kama shabiki wa Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: