Mon, 13 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi wa Clouds FM @amrikiembatz ameichambua tuzo waliyopata Simba SC siku ya jana , yeye kwa upande wake anaitazama kama tuzo ya watu wanaojaa uwanjani na sio mashabiki bora .
Upi mtazamo wako kwenye hili ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: