Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wagosi wa Kaya, Coastal Union wameanza hesabu za kumnasa beki wa Simba, Kennedy Juma kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja.
Hatua ya Coastal inatokana na kuondokewa na beki wa kikosi hicho, Lameck Lawi ambaye tayari msimu ujao atajiunga na Simba baada ya kufikia makubalino baina ya timu hizo na kusainishwa kandarasi ya miaka miwili.
Kennedy Juma msimu uliopmalizika alionekana kuigharimu Simba mara kwa mara na wengi walipendekeza Simba waachane nae.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: