Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: Dar24
Meneja Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema kiingilio katika mechi ya 'Kariakoo Derby' ni Sh5,000 kwa mzunguko, Orange ni Sh10,000, VIP A 40,000, VIP B Sh30,000, VIP C 20,000 na Platnum Sh150,000 Jumapili Novemba 5 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jion
Meneja Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema kiingilio katika mechi ya 'Kariakoo Derby' ni Sh5,000 kwa mzunguko, Orange ni Sh10,000, VIP A 40,000, VIP B Sh30,000, VIP C 20,000 na Platnum Sh150,000 Jumapili Novemba 5 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jion
Chanzo: Dar24
Related Articles: