Fri, 19 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kulia wa Simba SC Shomari Kapombe ataukosa mchezo wa kesho wa Derby dhidi ya Young Africans kutokana na majeraha.
Kapombe anasumbuliwa na majeraha ya goti hivyo ameondolewa kwenye mpango wa mechi ambayo itapigwa kesho Aprili 20.
Je unadhani Simba itapata pigo kwa kumkosa Kapombe mchezo wa Kesho? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: