Sat, 16 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanashuka Dimbani leo Septemba 16 kuwavaa Power Dynamos nchini Zambia.
Mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Agfrika utapigwa majira ya saa 10:00 Jioni katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini Zambia.
Simba wana rekodi nzuri kwa siku za hivi karibuni dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia.
Hiki hapa kikosi cha Simba SC kinachoanza mchezo wa leo;
Lakred
Kapombe
Zimbwe Jr
Che Malone
Inonga
Kanoute
Mzamiru
Chama
Kibu
Onana
Phiri
Kwa upande wa wenyeji wataanza na kikosi hiki
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: