Sat, 2 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanashuka dimbani muda mchache kutoka sasa kusaka tiketi ya kufuzu kwa hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba wanaikaribisha Klabu ya Jwaneng Galaxy kutoka nchini Botswana na kila timu inahitaji ushindi katika mchezo huu muhimu.
Hiki hapa Kikosi cha SIMBA SC dhidi ya Jwaneng leo;
Ayoub Lakred
Shomary Kapombe
Mohamed Hussein
Henock Inonga
Che Malone
Babacar Sarr
Fabrice Ngoma
Kibu Denis
Ssid Ntibazonkiza
Clatous Chama
Pa Omar Jobe
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: