Wakati Mchezo wa kukamilisha hatua ya Makundi ukikaribia kuanza kati ya wenyeji Simba dhidi ya wageni Jwaneng Galaxy kutoka Botswana tayari vurugu kubwa zimeanza kujitokeza.
Kashehse hilo limetokea pale ambapo baadhi ya maofisa wa Timu ya Jwaneng walipotaka kumwaga majivu katika kona za Uwanja kisha walinzi kuwagomea ndipo kulipoibuka vurugu kubwa.
Tazama Video hapa chini;
Jwaneng Galaxy really came prepared for this game. ????
— Micky Jnr (@MickyJnr__) March 2, 2024
They want to pour ashes and some liquid on the pitch but stadium security denied them and they opened up a fight. ????????#TotalEnergiesCAFCL #CAFCLwithMicky pic.twitter.com/K2OyhAhPeb