Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Inonga nae 'asepa' Simba SC

Dcsa Inonga Mlinzi wa Simba Henock Inonga akitolewa nje Juzi Agosti 10

Mon, 21 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Beki wa Simba,Henock Inonga amerudi kwao DR Congo baada ya kuumia bega katika mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida FG kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga hivi karibuni.

Beki wa Simba,Henock Inonga amerudi kwao DR Congo baada ya kuumia bega katika mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida FG kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga hivi karibuni. Inonga atakaa mda wa wiki mbili huku akijitibu jeraha lake la bega na uongozi umempa mapumziko kwa kipindi chote hicho.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: