Tue, 10 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa Simba SC, Raia wa Congo Henock Inonga Baka tayari amewasili CONGO DR kwa ajili ya majukumu ya timu yake ya Taifa.
Mlinzi wa kati wa Simba SC, Raia wa Congo Henock Inonga Baka tayari amewasili CONGO DR kwa ajili ya majukumu ya timu yake ya Taifa. Inonga amekosa mechi kadhaa za klabu yake kutokana na kuuguza majeraha yake lakini ameitwa katika kikosi cha Timu ya Taifa kinachojiandaa na mechi 2 za kirafiki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: