Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki kisiki wa Simba, Henoc Inonga amewasili jijini Dar usiku wa kuamkia leo kuungana na timu yake tayari kwa maandalizi ya mechi ya ufunguzi African Football League (AFL) Ijumaa Oktoba 20 dhidi ya Al Ahly katika uwanja wa Mkapa.
Inonga alikuwa katika majukumu ya Timu ya Taifa ya DR Congo na sasa amerejea rasmi Simba.
Tazama Video hapa chini Inonga akiwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: