Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa FIFA, Gianni Infatino tayari ametua nchini leo kwa ajili ya Uzinduzi wa Michuano mikubwa Afrika, African Football League katika Uwanja wa Mkapa.
Rais wa FIFA, Gianni Infatino tayari ametua nchini leo kwa ajili ya Uzinduzi wa Michuano mikubwa Afrika, African Football League katika Uwanja wa Mkapa. Ufunguzi wa Michuano hiyo unatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Soka Duniani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: