Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Simba ulionyesha nia kwa mara nyingine ya kumsajili mshambuliaji raia wa Niger Victorien Adebayor na walirejea Mezani ila kikwazo ni juu ya ofa ya klabu ya Ihefu waliyomuwekea kabla hajamalizana nao,
Uongozi wa klabu ya Simba ulionyesha nia kwa mara nyingine ya kumsajili mshambuliaji raia wa Niger Victorien Adebayor na walirejea Mezani ila kikwazo ni juu ya ofa ya klabu ya Ihefu waliyomuwekea kabla hajamalizana nao, Ikawa rahisi kwa klabu ya Ihefu kukamilisha usajili wa Mshambuliaji huyo na atajiunga na kikosi hicho Mwanzoni mwa msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: