Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa klabu ya Gwambina na Mbeya City ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya Simba Mohamed Mussa huenda akaachana na klabu hiyo kwenye dirisha hili la usajili.
Nyota wa zamani wa klabu ya Gwambina na Mbeya City ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya Simba Mohamed Mussa huenda akaachana na klabu hiyo kwenye dirisha hili la usajili. Hii inakuja baada ya nyota huyo kushindwa kuonyesha kiwango bora tangu aliposajiliwa na klabu hiyo ya Simba akitokea Ligi kuu visiwani Zanzibar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: