Tue, 24 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa leo utachezeshwa na refa Jean Jacques Ndala kutoka DR Congo ambaye atasaidiwa na Jerson dos Santos wa Angola na Arsenio Marengula wa Msumbiji huku refa wa akiba akiwa ni Messie Nkounkou wa Congo.
Mchezo wa leo utachezeshwa na refa Jean Jacques Ndala kutoka DR Congo ambaye atasaidiwa na Jerson dos Santos wa Angola na Arsenio Marengula wa Msumbiji huku refa wa akiba akiwa ni Messie Nkounkou wa Congo. Refa Ndala amekuwa na historia nzuri na Simba ambapo katika mechi tatu alizoichezesha, imeibuka na ushindi mara mbili na kupoteza mchezo mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: