Thu, 23 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mei 22 Siku ya Jumatano, Klabu ya Simba ilitangaza kuipeleka mechi yake ya nyumbani dhidi ya KMC katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Simba walikuwa wakitumia Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi ambao unamilikiwa na Azam FC ambao kwa sasa wako katika ushindani mkubwa wa kuwania nafasi ya pili na Simba SC.
Sasa Geoff Leah anatufafanulia kiini hasa cha mabadiliko hayo, sikiliza Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: