Sat, 11 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hawa ndio makipa walioruhusu magoli mengi kwenye mechi moja hadi kufikia mzunguko wa tisa wa ligi kuu NBCPL .
1. Aish Manula -Simba SC
2.Wilbol Maseke - KMC
3. John Mwanda - JKT Tanzania
Maafa yote haya yamesababishwa na Yanga SC na mechi zote nyavu zilicheza mara tano
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: