Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda mlango wa Simba Ayoub Lakred anaonekana kukalia kuti kavu ndani ya Kikosi cha Simba SC.
Wengi wanahoji inakuaje Golikipa wa kigeni anashindwa kuchukua nafasi langoni hali ya kuwa amesajiliwa kwa pesa nyingi.
Mchambuzi wa Michezo kutoka Wasafi FM, Edo Kumwembe anasema Lakred ameshindwa kumpa changamoto.
Msikilize Edo kwa urefu hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: