Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Dube aikataa ofa ya Simba SC, anataka kwenda wapi?

Prince Dube 1 Prince Dube

Fri, 15 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali zinasema Aliekuwa Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube amezikataa Ofa za klabu ya Al Hilal ambayo ni zaidi ya milioni 500 za Kitanzania na ya klabu ya Simba zaidi ya milioni 380 za Kitanzania ambapo mchezaji huyo hataki kuuzwa na klabu kusudio lake ni kuvunja mkataba na Azam ili awe huru ajiunge na timu yoyote anayoitaka yeye.

Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali zinasema Aliekuwa Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube amezikataa Ofa za klabu ya Al Hilal ambayo ni zaidi ya milioni 500 za Kitanzania na ya klabu ya Simba zaidi ya milioni 380 za Kitanzania ambapo mchezaji huyo hataki kuuzwa na klabu kusudio lake ni kuvunja mkataba na Azam ili awe huru ajiunge na timu yoyote anayoitaka yeye. Unadhani Dube ana mipango ya kujiunga na Timu gani?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: