Tue, 25 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo Julai 25 Winga wa Simba Jose Luis Miquissone amewasili katika Kambi ya Simba iliyopo nchini Uturuki wakijiandaa na msimu mpya 2023/24.
Miquissone amekwenda kuungana na Timu na bila shaka atakuwa chini ya Programu maalum kabla ya kuungana na wachezaji wenzake.
Huu ni usajili a,bao Mashabiki wengi wa Simba wanausubiri kwa hamu kubwa kuona kile ambacho wanakitarajiwa kutoka kwa winga huyo.
Tazama Video hapa chini uone mchezaji huyo alivyowasili;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: