Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Simba, Clatous Chama amezungumzia kuhusu mechi ya jana dhidi ya Power Dynamos iliyoisha kwa sare ya bao 1-1 na kufuzu makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa idadi ya mabao (3-3) baada ya kutoka sare ugenini 2-2.
Chama ameandika;
"Haikuwa rahisi ila tumefuzu makundi kwa mara ya sita, lengo ni kuyapita mafanikio tuliyopata msimu uliopita jwa namna yoyote,"
Simba iliishia hatua ya robo fainali msimu uliopota ikitolewa na Wydad Casablanca kwa mikwaju ya penalti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: