Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Imani Kajula ameeleza kuhusu experience ambayo yuko nayo katika maisha ya mpira kabla ya kuhudumu Simba SC ameeleza kuwa aliwahi kufanya kazi na klabu kubwa ya Arsenal ya nchini Uingereza akisimama kama mshauri wa klabu hiyo huku Tanzania.
Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Imani Kajula ameeleza kuhusu experience ambayo yuko nayo katika maisha ya mpira kabla ya kuhudumu Simba SC ameeleza kuwa aliwahi kufanya kazi na klabu kubwa ya Arsenal ya nchini Uingereza akisimama kama mshauri wa klabu hiyo huku Tanzania. Kajula aliteuliwa na Simba SC kushika wadhifa huo baada ya kuondoka kwa Barbara Gonzalez akipewa Mkataba wa miezi Sita (6) na hivi sasa Mkataba huo umeshamalizika huku kukiwa hakuna taarifa yoyote.