Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba, Salim Abdallah "Try Again" yupo nchini Saudi Arabia kwenye kozi ya Diploma ya Uongozi wa klabu inayotolewa na FIFA.
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba, Salim Abdallah "Try Again" yupo nchini Saudi Arabia kwenye kozi ya Diploma ya Uongozi wa klabu inayotolewa na FIFA. Hata hivyo Mwenyekiti huyo pia atashiriki mkutano wa mpira wa miguu Duniani (World Football Summit).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: