Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Kuu imetangaza kuchukua hatua kwa Mashabiki wa Simba Sc walioleta vurugu jukwaani kwa uthibitisho wa video.
Video hiiyo inionyesha Mashabiki wa Simba Sc wakimshambulia Kwa kumpiga kikatili shabiki wa Yanga Sc katika mchezo wa Simba dhidi ya Ihefu Uwanja wa Mkapa.
Tazama Video hapa chini
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: