Kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha ameingia kwenye 3 bora ya makocha wanaowania tuzo ya kocha Bora wa msimu wa CAF.
TOP 3 YA KOCHA BORA WA CAF 2023
Abdelhak Benchikha (Algeria) - Bingwa wa CAF CC & CAF Super Cup.
Walid Regragui (Morocco) - Namba 1 Viwango vya FIFA - CAF (AFCON Qualified).
Aliou Ciss (Senegal) - Namba 2 Viwango vya FIFA - CAF. (AFCON Qualified).
Kwenye tano bora waliingia makocha hawa;
■ Abdelhak Benchikha - Wydad
■ Marcel Koller - Al Ahly
■ Tom Saintfet - Gambia
■ Walid Regragui - Morocco
■ Aliou Cisse - Senegal
Kocha wa Al Ahly ambao ni Mabingwa wa CAFCL 2023 hayupo kwenye orodha ya tatu Bora.