Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba zinasema kwamba Kocha Mkuu wa Klabu Hiyo Benchikha amependekeza jina Abderrahmane Meziane kutoka CR Belouzdad asajiliwe dirisha dogo ili aweze kukimbizana na malengo ambayo amewekewa na uongozi wa Simba.
Taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba zinasema kwamba Kocha Mkuu wa Klabu Hiyo Benchikha amependekeza jina Abderrahmane Meziane kutoka CR Belouzdad asajiliwe dirisha dogo ili aweze kukimbizana na malengo ambayo amewekewa na uongozi wa Simba. Kocha Benchikha na Meziane walifanya kazi pamoja msimu uliopita akiwa na USM Alger.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: