Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema kwamba anapambana kuhakikisha timu hiyo inaibuka na ushindi kila mechi ili waweze kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema kwamba anapambana kuhakikisha timu hiyo inaibuka na ushindi kila mechi ili waweze kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara "Ninapambana kwa moyo wangu wote kwa ajili kushinda kila siku na Simba, sisi tupo kwenye CAF Champions ambako nataka tufike mbali zaidi ya matarajio ya wengi, lakini pia ubingwa wa ligi ni muhimu lazima pia tufanye vizuri tushinde, nipo hapa kushinda mataji na Simba SC na nipo hapa kuendelea kuifanya kazi yangu kwa jitihada zote." amesema Benchika