Tue, 6 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo Jumanne Simba itashuka uwanja wa Azam Complex, kumenyana na Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya NBC
Ni moja ya mechi mbili za kukamilisha msimu ambapo mchezo wa pili dhidi ya Coastal Union utapigwa Ijumaa
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema huu ni mchezo maalum kwa Wanasimba 'kumwagilia mioyo'
Ni mechi ya heshima kwa Simba kuhitimisha msimu kwa ushindi katika mechi zote mbili zilizobaki
Viingilio vya mchezo VIP A ni Tsh 15,000/-, VIP B na C ni Tsh 10,000/- na Mzunguuko ni Tsh 5,000/-
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: