Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Azam TV Baraka Hudson Mpenja (sauti ya radi) amechaguliwa Kutangaza Mchezo wa Kesho wa Ufunguzi wa Michuano ya African Super League (AFL) Simba SC Vs Al Ahly.
Mtangazaji wa Azam TV Baraka Hudson Mpenja (sauti ya radi) amechaguliwa Kutangaza Mchezo wa Kesho wa Ufunguzi wa Michuano ya African Super League (AFL) Simba SC Vs Al Ahly. Baraka amekuwa kipenzi cha wanamichezo wengi katika utangazaji wa mechi na hivyo kesho Oktoba 20 anakwenda kuwapa wapenzi wa kandanda burudani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: